Je Unatumia Mitandao Ya Kijamii Kama Facebook, Instagram & TikTok ?

Kama Umejibu Ndio…

Basi Ngoja NIKUONYESHE Jinsi Ya Kutengeneza Kuanzia Tshs 3M+ HARAKA Mtandaoni Kwa Kuuza TAARIFA(Ideas,Skills & Hobbies)

“Iba Mfumo Huu Wa SIRI Unaoningizia Zaidi Ya Tshs 10,660,996+  Kila Mwezi Kupitia Mitandao Ya Facebook, Instagram & TikTok”

Na Bahati Nzuri Ni Kwamba Mfumo Huu Unafanya Kazi Hata Kama…

…Huna Taarifa, Mtaji,Ujuzi Au Utaalamu wa Kukufanya Watu Wakulipe Pesa

Rafiki Mpendwa…

Je Unataka Kugundua SIRI ya Kutengeneza Kuanzia Tshs 3,000,000+ Kila Mwezi Kupitia Mitandao ya kijamii hata kama hauna Uzoefu wala Utaalamu wowote wa Kutumia Mitandao? 

…Kama umejibu Ndio basi huu Ndio utakuwa Ujumbe Muhimu Zaidi utakaousoma Mwaka Huu…

…kwani kile unachoenda kukisoma ndani ya sekunde 60 zijazo Kitakuingizia Pesa Hata Kama Umelala na… Kuokoa BANDO lako kupotea Bure Mtandaoni

NA…

Kama umekuwa ukitumia Mitandao ya kijamii Bila FAIDA Yoyote… basi ni Kwasababu Haujui Mfumo Huu Mpya Wa Kutengeneza MAOKOTO Mtandaoni,

Unaotumiwa KISIRI Na Watanzania Wachache sana Hapa Bongo Walioshtuka Na Kuwafanya Kuwa MAMILIONAIRE

… Siri ni kwamba Pesa kwenye Mitandao ya kijamii zipo KIGANJANI Mwako

Kivipi? utauliza!

Endelea kusoma Utaenda kujua kila kitu ndani ya muda mfupi ujao…

NA…

Uzuri wa Kutumia Mfumo Huu Wa SIRI kutengeneza Pesa kupitia Mitandao ya kijamii ni kwamba…

“Ni Wewe, Smartphone yako, Internet, Bando lako & Laptop yako”

Na utaweza kutumia Mfumo Huu Mpya Wa Biashara Kutengeneza Pesa Kupitia Facebook, Instagram Na TikTok kama Wewe Ni…

Utashangazwa jinsi itakavyokuwa RAHISI kutengeneza pesa kupitia Mitandao ya kijamii kwa kuuza TAARIFA, UJUZI, Bidhaa/huduma…

KWANI

…kutokana na Siri ninazoenda kukuonesha muda Mfupi ujao…

Huniamini…?

Ebu Songea Uangalie Vizuri Hapa Chini Jinsi Mfumo huu Unavyonitengenezea PESA Kiurahisi Mtandaoni Kama CHUMA ULETE!

Hi,Jina Langu Ni Charles Peter…

Naishi Mwenge – Dar es Salaam

Nikurudishe Nyuma Mwaka 2019

Mwaka Ambao Ulikuwa Mchungu Kwangu Kama Kifo Cha MENDE

KWANINI..?

…Kwasababu Ndiyo Ilikuwa Mara Yangu Ya Kwanza KUPIGWA Tshs1,750,000 Mtandaoni

Kama Utakumbuka Mwaka  2019 Kulitokea Ugonjwa Uliokuwa Tishio Kubwa Sana Hapa Bongo Maarufu kama COVID-19

Watu wengi Walipoteza Ajira, Biashara Nyingi Zilifungwa, Shule Na Vyuo Vilifungwa, Uzalishaji Ulishuka Na Maisha Yalipiga Spana Vilivyo…

  (Kiufupi Vyuma Vilikaza)

Nakumbuka Kama Jana Vile Baada Ya Kushindwa Kuendelea Na Chuo Kwa Sababu…

…Ya Kushindwa Kulipia ADA Ya Chuo Pale Sokoine University Of Agriculture.

Hali Ambayo Ilinifanya Niingie Mtaani Kusaka NOTI (Maokoto) Ili Niendelee Na Chuo…

Niwe Mkweli Tu Mambo Haya kuwa Rahisi Kama Unavyofikiria (Kiufupi Nilikutana Na Kitu Kizito)

Kivipi…?(Utauliza)

Usijali Endelea Kusoma Nitaelezea Kila kitu Ndani Ya sekunde 60 Zijazo…

Nakumbuka Ilikuwa Siku Ya Jumapili Mida ya Saa 6:00Pm Jioni, Nikiwa Nimekaa Kwenye Kigoda (a.k.a situli)

Nikiwa Nimekataa Tamaa Kabisa Mara Simu Yangu Ya Tecno Pop 2 Ikaita Vuu Vuu

Kucheki Ilikuwa Rafiki Yangu Ema…

Charles Vipi Uko Wapi Mkuu?

Nipo Home Kaka Vipi Kwani? …. Nikauliza

Acha Ushamba Utakufa Masikini Kuma Wewe, Kuna Mchongo Wa PESA Hapa

Mbio Mbio Kidogo Nidondoshe Tecno Yangu Chini ya Sakafu….

Kiukweli Sikutaka Maelezo Mengi Zaidi Ya Kumuuliza Hili Swali Hapa

Najiungaje Mkuu…?

Haikupita Hata Dakika 3 Tayari Nikapokea Link kwenye WhatsApp Yangu

Kucheki Vizuri Ilikuwa Kampuni Ya CROWD1

Bila Shaka Uliwahi Kuisikia Kampuni hiyo Si Ndiyo?

Kwa Wale ambao Hawafahamu kuhusu Kampuni Hiyo ilivyokuwa Inapiga Watu Nitaelezea Hapa Chini…

Crowd1 – Hii ilikuwa ni biashara ya mtandao ambayo watu walihamasishwa kujiunga na mfumo wauwekezaji, na kila
aliyekuwa akijiunga kupitia Link Yako Unapata kamisheni.

Biashara hii ilizua mjadala mkubwa kutokana na madai ya kuwa ni mpango wa piramidi.

Ili Kufupisha Story, Rafiki yangu Alinishawishi Kujiunga Akiniaminisha…


…kuwaTutapiga Mkwanja Online…

Na Mimi Sikuwaza Mara mbili Kwasababu Nilikuwa Napitia MSOTO Wa Kufa Mtu

NA….

…Kwa Bahati Mbaya sana Ili Ujiunge Na Hiyo Biashara Ilikuwa Ni Lazima Utoe PESA

Na Mimi Sikuwa Na Hata Bunje Ya Senti Mfukoni

Lakini…

Ilibidi Nikope Tshs 750,000 Kisha Nikaenda Kuizika Yote Huko
Nikiamini Nitapata Zaidi Ya hiyo Pesa

Unajua Nini Kilitokea Baada Ya Hapo?

Baada Tu Ya kujiunga Mambo Yalikuwa Tofauti Na Nilivyokuwa Nafikiria

Kwani Ilikuwa Kazi Ngumu Mno Kumpata Mtu mwingine Wa
Kujiunga Kwangu Ili Nipate Hiyo Kamisheni

Na Baada Ya Mwezi mmoja Tu Kampuni Ikasepa Na kila Kitu Changu

Kiukweli Nilihisi Kuchanganyikiwa Kabisa PESA Zote Zimepigwa Huku…

…Nikaachwa Nadaiwa Na Mwenye PESA

Kuanzia Siku hiyo Mwili Wangu Wote Ulijaa MADENI Mpaka…

Marafiki Zangu Wakanibadilisha Jina Na… 

…Kuniita Mr Madeni

Nilikuwa siendi sehemu zozote za starehe siku za weekends kama wenzangu…

Naona hadi aibu kusemahili ila…Mpaka Mchumba wangu Sarah


…aliniacha kisa nilikosa hela ya Kumnunulia Nguo Mpya katika siku yake ya kuzaliwa…

Kibaya zaidi Ni Kwamba Nilishindwa Hata Kupiga Show Vizuri

Kitandani Kwa Sababu Ya Msongo wa mawazo…

(Mashine Yangu)
Ilianza Kunywea Ndani Kama Ya Mtoto)

Na sina uhakika kama na wewe kwa sasa upo katika hali hiyo
niliyokuwa nayo mimi kipindi kile…

…Au bado unahaingaika kutafuta ajira na pengine una HOFU ya kutokujua Hela ya kodi ya mwezi ujao itatoka wapi

Lakini haijalishi…

…Kwasababu licha ya hali uliyonayo kwa sasa…

nina uhakika unahitaji Uhuru wa kufanya kile unachokipenda Zaidi na kuishi
Maisha unayoyataka

…IMETOSHA SASA!… 

Nikajisemea Kimoyo moyo!

Nimechoka kila siku kuamka asubuhi na kwenda kufanya kazi ambayo Kipato Chote Kinaishia…

 …kwenye Nauli, Chakula na Kodi ya nyumba…

Nimechoka kufanya Biashara Ambazo Ni Za KITAPELI 

Na Hazinipi Faida Yoyote Zaidi Ya Kuchoma PESA Zangu

Na Kwasababu hiyo…

“Nikaapa lazima nifanye kitu ambacho KITABADILISHA Maisha yangu, Kitanipa UHURU wa Kifedha Na Kuukimbia UMASIKINI Milele”

Mwaka 2022 Baada Ya Kupitia MSOTO Wa Maisha Mtaani

IMG_7703

Niliingia Google kisha nikaandika…

“How to Make Money Online”

Zikaja Biashara kibao ikiwemo Affiliate marketing, Forex, network marketing

…ila kuna option moja ilinivutia zaidi kwani iliahidi Kunifundisha
njia rahisi ya kutengeneza Pesa mtandaoni bila kuwa na bidhaa wala ujuzi wowote

Ilikuwa ni Platform Kwa Jina Maarufu Ilifahamika Kama
(KALYNDA E-COMMERCE)

Baada ya Kubofya Link akasema natakiwa kulipia (Tshs 325,000) ili kuweza Kuanza Kulipwa Kila Siku…

…nikalipia bila kuwaza mara mbili…

Nikawa nasubiri kupokea Maokoto yangu Safi Kabisa,

LAKINI…

Baada Ya Mwezi Mmoja Tu Kupita Mara Nikasikia Mitambo Imezingua…

Nikasubiri masaa yakapita Kimya, siku mbili zikapita kimya…

ndipo akili iliponijia na Kushtuka kwamba “NIMEPIGWA”

Mwili wote ulilowa jasho na mikono ikafa ganzi mpaka
nikadondosha simu chini…

Bahati Nzuri Ni Kwamba Sikupigwa Pekee Yangu Tulikula Vya USO Wengi Sana, Hahaha

…ila nikasema Ngoja nijaribu kwa mara ya mwisho…

Nikaanza Kusuka MIKEKA (KUBETI) Pamoja Na Kucheza BONANZA

LAKINI…

Bado niliishia kuambulia “PATUPU”…

Nikajaribu Kuongea Na Rafiki yangu Joseph Alikuwa Amejiunga Na Kampuni Ya Network Marketing Ya Kuuza Bidhaa Za…

…Afya

Nikawa natuma picha Kibao za Bidhaa Za Afya kwenye
Magroup Tofauti tofauti ya WhatsApp…

…nikaishia kutolewa
kwenye Magroup kama TAPELI

LAKINI…

Siku moja wakati naperuzi Youtube nikakutana na Video ya “Dr Said Said”

Huyuni Mtaalamu wa Kufanya Biashara Mtandaoni Hapa Tanzania.

Akiwa anaelezea jinsi alivyotengeneza Zaidi ya $37,000 (Tshs100M) Kupitia “Mitandao Ya Kijamii” ndani ya Miezi 12 Tu…

Nikavutiwa nayo sana Na…

….Baada ya kusikiliza ile Video mpaka mwisho nilijifunza SIRI kibao za kutengeneza PESA Mtandaoni… 

…Ambazo wataalamu wengi hawataki uzijue Ili Uendelee Kuwa MASIKINI Wa Kutupwa

NA…

Hizi Hapa chini ni SIRI 3 MUHIMU Nilizojifunza Kwenye Ile Video Kama Unataka Kutengeneza PESA Mtandaoni

…Bila Kuzijua Siri Hizi 3 Nakuhakikishia 100% Utaishia KUCHOMA PESA Zako Kila Siku Mtandaoni Bila Faida Yoyote…

1) Usiende Google na kuandika “How to Make Money Online”

Ukiingia tu Google Kisha ukaandika “How to Make Money Online” zitakuja Options na.

Links kibao zinazoahidi kukufundisha jinsi ya kutengeneza pesa mtandaoni

99% ya wanao-search Google jinsi ya kutengeneza pesa Mtandaoni huishia kutapeliwa

Kwahiyo usipoteze kabisa Muda, Pesa, Nguvu na juhudi zako ku-Google hicho kitu…

kwa sababu Uwezekano wa kupigwa ni mkubwa

2) Ili Kutengeneza Pesa Mtandaoni LAZIMA uwe na Kitu cha Kuuza na Lazima Ujifunze Jinsi ya Kuuza Mtandaoni.

Ukweli ni kwamba Pesa hazipo Mtandaoni wala kwenye bidhaa/huduma yako…

Pesa zipo kwenye uwezo wako wa Kuuza hiyo bidhaa/huduma…

Mtu yeyote asikudanyanye kwamba kutengeneza pesa mtandaoni ni kitu rahisi…

ukweli ni kwamba utaweza kutengeneza pesa mtandaoni endapo tu utatao kitu chenye

Uthamani kwa watu aidha bidhaa/huduma

3) Kaa mbali na kitu chochote ambacho Kina ahidi Kutengeneza Pesa Mtandaoni bila wewe kutoa uthamani wowote wala…

…kutatua changamoto yoyote Unapoona vitu hivyi Mtandaoni kaa navyo mbali au kimbia kabisa ukiweza….

Mfano… Kuna Hii

PLATFOM YA ‘LBL’

Majuzi Tu Watanzania Wamelizwa Vibaya Mno kupitia Platfom Hii

…eti  unaambiwa utalipwa kwa Kucheza MAGEMU mbali mbali mtandaoni kisha unamshirikisha na mwingine…

Kama kutengeneza pesa mtandaoni ingekuwa ni rahisi kiasi hicho niamini mimi 

Foleni ingekuwa kubwa sana kwenye mabenki kwa sababu kila mtu angekuwa anafanya biashara mtandaoni

Kwahiyo…

Kitu chochote ambacho Kinaahidi Kutengeneza Pesa

Mtaandaoni kwa muda mfupi bila wewe kufanya kazi yoyote basi Jua huo ni…100% UTAPELI

Kuanzia siku hiyo niligundua kwamba hii ni Fursa ambayo
inaweza Kuyabadilisha Maisha yangu mazima.

Kusema Kweli Sikupoteza Muda Kabisa Nilinunua Course Yake Nakumbuka Kipindi Hicho Alitoa OFA Kwa Tshs 1,500,000 Tu!

Baada ya hapo…

Nikaanza kutumia zile Siri nilizojifunza kuuza bidhaa kupitia Mitandao Ya “Facebook, Instagram, TikTok & WhatsApp”

Haikuchukua muda…nikashangaa mara mteja wa 1, Mteja wa 2, 3, 5, 7…ohoo mambo ya kapamba moto….

…Ikafika wakati nikazidiwa na wateja…

mpaka nikatengeneza
MFUMO Wa Kunasa Wateja 24/7 Hata Kama Nimelala…

…Nikaupa Jina La “Money Master System” (MMS)

Nakumbuka Ndani ya siku 21 Tu tayari nilikuwa nimeshafanya mauzo ya…

“Tshs 3,079,031”

Na…

Kufikia Agust, 2024 Niliweza Kutengeneza Kipato Cha
“Tshs 24,242,758”, Ndani Ya Miezi 3 Tu!

Yawezekana Bado Huniamini Si Ndiyo?

“Hebu Songea Karibu Hapa Kisha SIKILIZA Hii Video Hapa Chini Nilifanya live Nikiwa Na Mentor Wangu Nimetoboa SIRI Kibao Zilizonifanya Nikatengeneza Millioni 24,242,758 Ndani Ya Miezi mitatu”

Na GOOD NEWS

 

Ni Kwamba Kupitia Mfumo Huu Wa BIASHARA Mwaka 2025 Nimeweza Kununua My 1st DREAM CAR AUDI Q5 Yenye Thamani Ya MILLIONI 37M 

Na sasahivi NIMEJIAJIRI Kupitia Mitandao ya Kijamii na Mpaka sasa tayari nimeshawasaidia Zaidi ya Vijana 179+ Pamoja na Wajasiriamali kama wewe kujenga ujuzi wa Kuuza na kutengeneza pesa mtandaoni

Wajasiriamali wengi wakaanza kunitafuta ili niwafundishe Zile SIRI za Kutengeneza PESA Mtandaoni…

“Kusema ukweli…sikuwa na mpango wa Kumfundisha Mtu yeyote Siri hizi”

ILA…

Kuna Huyu Rafiki yangu Amosi Mwita alikuwaking’aninizi na alikuwa anapiga simu Zaidi ya mara 15 kwa siku…

akiomba nimfundishe na alikuwa tayari hata kunilipa Pesa nyingi

Kishingo upande ili kuepusha usumbufu nikaamua kumfundisha Siri hizi za kutengeneza Maokoto Mtandaoni…

Nahivi ndivyo Amosi anavyosema baada ya kutumia Siri hizi Za SIRI Kutengeneza PESA Kupitia Mitandao ya
“Facebook,Instagram na TikTok”

Najua unaweza ukawa unajiuliza…

“Hivi ni Kweli SIRI hizi zitamsaidia Mtu ambaye Hana Utaalamu wala Uzoefu wowote wa kutumia Mitandao?”

Well…

Huyu Hapa Ni Kijana Ambaye Alikopi Na Kupest Siri Hizi Tena Hakuwa Na Utaalamu wala Uzoefu wowote… 

Ila angalia Anavyosema sasa hivi

Baada ya Uhitaji wa Watu (Wajasiriamali) wanaotaka Kufundishwa kuwa Mkubwa kiasi cha Kushindwa kuwamudu wote…

Ndipo nilipopata wazo Hili la kuandika Kitabu (eBook) hiki
kitakacho kuelekeza Hatua kwa hatua tena kwa Mifano…

…Jinsi ya Kugeuza Smartphone yako ya Mkononi kuwa ATM
Mashine ya Kukuchapishia Pesa Kila Siku Mtandaoni Kinachoitwa….

“MKWANJA ONLINE”

NA…

Hii ni Nusu Tu ya SIRI Zinazokusubiri Uzigundue Ndani ya Kitabu Hiki chenye Kurasa 67 Tu Endapo Utakinyakua Leo!

1) “Fanya Aina Hizi 4 Mpya Za Biashara Za Kutengeneza PESA Mtandaoni Ndani ya Mwaka 2025…. (Ambazo Unaweza Kuanza Hata Kesho)”

(Secrets:) Hizi Ndizo Biashara Halali na za Kweli za Kutengeneza Pesa Mtandaoni…(Page #7)

2) Makosa 5 Yanayowagharimu 98% Ya Wajasiliamari Wanapotaka Kuuza Chochote Mtandaoni Na… Jinsi Ya Kuyaepuka (Page #19)

3) Kopi Scripts Hizi 7 Zenye thamani Ya $3,000 Nilizotumia Kuuza Zaidi Ya Tshs 683,088 Ndani Ya Dakika 3 Tu! Kwenye Simu ( Zilizoandikwa Hapa…page #26 )

4) Hizi Ndizo Sababu 10 Zinazowafanya Wateja Wanunue
Chochote Mtandaoni Na Kama Hutozijua Sababu Hizi Huwezi Kuuza Kabisa Mtandaoni (Page #35)

5) “Iba Aina Hii Ya Biashara Yenye Uhitaji Mkubwa Sokoni Hata Kama Huna Ujuzi Ilionitengenezea Zaidi Ya Tshs 1,045,000 Kwa Siku Moja (Page #47)

6) Jifunze FOMULA Hii Ya SIRI Ya Kuwafanya Wateja Wakukimbize Wakihitaji Bidhaa/Huduma Yako Na Sio Wewe Kuwa Muwindaji Wa Wateja…(Page #56)

7) Tumia Hatua Hizi 8 Za Kumpitisha Mteja Wako Ili Akuombe Umuuzie Bidhaa/HudumaYako Bila Kukupa Kipingamizi Chochote (Page #69)

8) Geuza Ujuzi & Taaluma Yako Kuwa  ATM Mashine Ya “Kuprint” PESA Mtandaoni Masaa 24/7 Hata Kama Umelala (Page #74)

…Pamoja na SIRI Zingine MPYA Kibao Nimeziongeza Juzi!

Kitabu hiki ni TOFAUTI na vitabu vingine Vyote Ulivyowahi kuvisoma… kwa sababu hiki kimeandikwa kutokana na Mazingira Halisi ya Kitanzania na kila kitu kimehakikiwa kufanya kazi kwa 100%..  na sio nadharia kama vitabu vingine

NA…

Jinsi ya kusoma kitabu hiki ni rahisi sana… kwani Rugha Iliyotumika Ni Rahisi Sana Hata Mtoto Wa Darasa La 3 Anaweza Kukisoma Na Kuelewa…

Thamani Halisi ya Kitabu cha “Mkwanja Online” ni Tshs 67,000

LAKINI…

KWA SABABU Huu ni Mwanzo Mwaka 2025… Basi Sitakuuzia
Kitabu Hiki kwa Tshs 67,000

Pia bado Sitakuuzia Kitabu Hiki kwa Tshs 25,000 japo hii ndio huwa OFA yake ya Mwisho…

…Badala yake Leo Utaweza Kukipata Kitabu chako cha
“Mkwanja Online” kwa Malipo Kidogo ya…

“Tshs 19,000 Tu”

Kupata Kwa Bei Hii Yamebakia…

Masaa
Dakika
Sekunde
Hiki ndicho kitakachotokea Baada ya kubofya hayo Maandishi ya MEKUNDU hapo juu…

“Utapelekwa Moja kwa Moja kwenye Namba ya kulipia… na
baada ya kulipia utatumiwa kitabu chako ndani ya Dkk 2 tu
kwenye WhatsApp yako”

NA…

 

Sio hivyo tu…

Kama utalipia Kitabu chako ndani ya Masaa 6 Utapata hizi BONASI Hapa Chini Zenye Thamani ya Tshs 875,000 BURE Kabisa…

BONASI #1 : Utaungwa BURE Kwenye Group La VIP (Mentorship Support) Mwaka Mzima Mpaka Utimize Malengo Yako… (Wengine Hulipia Tshs 250,000)

BONASI #2 : Utapata FREE RECORDED Master class Inayoelezea Hatua kwa hatua jinsi ya Kufanya settings Za ACCOUNT Zako Za Facebook, Instagram & TikTok…(Huwa Inauzwa Tshs 95,000)

BONASI #3 : Utapata FREE RECORDED Master class Hatua Kwa hatua jinsi ya kutengeneza Matangazo Yenye Kunasa Wateja Mtandaoni Kwa Kutumia CANVA…(Huwa Inauzwa Tshs 65,000)

BONASI #4 : Utapata BURE e-Book Yangu MPYA Yenye
Mkusanyiko Wa Headline 99 Zinazouza Mtandaoni Hapa Bongo Inayoitwa “Hooks Sekunde 3” . (Huwa Inauzwa Tshs 75,000)

“Utakopi Tu & Kupesti hizi Headlines kwenye Matangazo yako ya kuuza Chochote mtandaoni”

BONASI #5 : Utapata BURE My Secret PDF Ya Jinsi Ya Kusuka OFA Ya Kufa Mtu Ambayo Itamfanya Mteja Wako Ajione MJINGA Kama Hataji nyakulia OFA Yako…(Huwa Inauzwa Tshs 35,000)

“Na Si Hivyo Tu…Good News”NiKwamba…

…Kama Utalipia Kitabu Chako Sasa hivi Nitakupa MFUMO Mzima Wa Biashara Yangu BURE Kabisa…

 

BONASI #6 : Utapata VIDEO Iliyo Rekodiwa KISIRI Ya Jinsi Ya kutengeneza MFUMO Utakaofanya Kazi Bila Uwepo Wako 24/7 Hata Kama Umelala…

…Mfumo huu ni Maarufu Kama…. (Landing page)

(Thamani Yake Ni Tshs 350,000)

 

Secrets : Huu Ni Mfumo Unaowatajirisha Mamilioni Ya Wajasiliamari Walioshtuka Kwa Sasa hivi 

 

Mfano Kuna Huyu Rafiki yangu Mr AHAZI NGESSY, Alikuwa akipiga Simu Mara 25 Kwa siku Ili Nimfundishe Mfumo Huu 

 

Na Ndani Ya Mwezi Mmoja Tu Aliweza Kutengeneza Zaidi Ya Millioni 10M+…

Kama Huniamini Angalia Hapa Anachosema 

Image

Kwahiyo… Ndani ya Masaa 6 Utaweza Kupatae Book yako ya
“Mkwanja Online” Pamoja na BONASI Zenye Thamani ya Tshs 875,000 Kwa Malipo ya…

“Tshs 19,000 Tu”
(875,000)
Punguzo La 98%

Kupata Kwa Bei Hii Yamebakia…

Masaa
Dakika
Sekunde

Kikubwa zaidi ni kwamba baada ya Kununua Kitabu hiki…

…Utalindwa na Hii GUARANTEE Hapa Chini…
“Kama ndugu zako na marafiki zako wakaribu hawata kwambia UMEBADILIKA na umekuwa MPYA baada ya kusoma kitabu Hiki au kama hujatengeneza pesa yoyote Kupitia Mitandao Ya Kijamii ndani ya siku 30 zijazo… basi Dai Pesa yako na Nitakurudishia bila kukuuliza swali lolote na vitabu vyote utabaki navyo… Kwahiyo Hakuna RISK Yoyote upande wako”

Chaguo ni Lako…. Aidha uendelee kubaki vile vile kama ulivyokuwa mwaka Jana Au Usome kitabu hiki na Ubadilishe kila kitu ndani ya 2025!

TAHADHARI: Nafasi za watu Watakaopata BONASI ni 27 Tu… Kwahiyo Wahi LIPIA Sasahivi Kabla Hazijanyakuliwa zote!

P. S. Ukweli ni kwamba Ukichelewa Kulipia Utazikosa BONASI zote…na Kuanzia Kesho Kitabu Kitarudi kwenye Bei yake ya kawaida ambayo ni Tshs 67,000

…Lakini Leo bado unaweza Kukipata Kitabu chako Pamoja na BONASI Zake Zenye Thamani ya Tshs 875,000 kwa Malipo Kidogo ya…

“Tshs 19,000 Tu”
(875,000)
Punguzo La 98%

Kupata Kwa Bei Hii Yamebakia…

Masaa
Dakika
Sekunde

Hey, Bado Upo!
Yawezekana Unajiuliza Hili Swali Hapa
Je Nitapataje Kitabu Changu Baada Ya Kulipia?
Well,

Usijali Baada ya Malipo nitumie sms ya mwamala whatsap
Kisha Nitakutumia Kitabu Chako Pamoja na BONUS
ZAKE BURE kabisa Ndani ya dakika 2 Tu!

Ni mimi Mwenyewe kujali Mafanikio Yako

Charles Peter

Dar es Salaam – Mlimani city

Karibu Ofisini, Kwa Mawasiliano Zaidi Nipigie: 0698281756